Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
6 comments:
Nimeguswa sana na wimbo huu. Asante
Kutenda kazi na kuitunza kwa hakika ni NEEMA kwa vizazi vijavyo. Kuisambaza ni shughuli na BARAKA nyingine kwa wale walio katika hitaji la kuipata. Kwa hakika alivyoimba amegusa wengi, na kwa kuiweka kazi yake kwenye kumbukumbu ya Video kutainufaisha jamii na kizazi kijacho na kwa Wewe Mwalimu kuisambaza kazi hii ni BARAKA kwa wale ambao hawakuwa na bado hawana namna ya kuipata kirahisi japo wanaihitaji.
Baraka kwako
Wimbo mzuri kweli na wenye ujumbe mzito. Bwana apewe sifa!
Nawashukuru sana kwa kunipatia nafasi hii. Binafsi nyimbo zote za aliyekuwa mpendwa wetu Angela M. Chibalonza zinanigusa sana na mara nyingi nikiwasha CD yake huwa najihisi kuwa na AMANI Moyoni mwangu. Tuzidi kumuombea kwa Mungu azidi kupata pumziko la Amani milele. A M I N A
I listened to this song while traveling upcountry during the weekend and it has realy touched my heart, God bless you Angela that the life you lead when you were alive sets a testimony for all of us who are alive today
She was blessed. Let her rest in peace
Post a Comment