Kwa vijana ambao hamjaoa, hebu sikilizeni ujumbe huu wa Bony Mwaitege kwa makini. Kwa habari zaidi kuhusu Bon Mwaitege (bofya hapa)
Somo la 10: Kanuni za Pambano
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 12, 1 Wakorintho 10, Danieli 10)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron...
4 days ago
1 comment:
Wimbo mzuri sana na ujumbe moto moto hasa kwa vijana ambao hawajaoa. Hata hivyo kwangu mimi inaonekana kama vile anachohitaji zaidi ni mfanyakazi wa ndani kwani pengine akipata mtu wa kumsaidia hizo kazi za ndani zilizomshinda basi mambo yake yatakuwa sawa. Sijaona sababu hasa ni kwa nini anahitaji mke mbali na hizo kazi za ndani anazozilalamikia. Wengine mnasemaje?
Post a Comment