Kwa vijana ambao hamjaoa, hebu sikilizeni ujumbe huu wa Bony Mwaitege kwa makini. Kwa habari zaidi kuhusu Bon Mwaitege (bofya hapa)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
1 comment:
Wimbo mzuri sana na ujumbe moto moto hasa kwa vijana ambao hawajaoa. Hata hivyo kwangu mimi inaonekana kama vile anachohitaji zaidi ni mfanyakazi wa ndani kwani pengine akipata mtu wa kumsaidia hizo kazi za ndani zilizomshinda basi mambo yake yatakuwa sawa. Sijaona sababu hasa ni kwa nini anahitaji mke mbali na hizo kazi za ndani anazozilalamikia. Wengine mnasemaje?
Post a Comment