Somo la 13: Kumngoja Bwana
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 20, Zaburi 27, 92, 126, na Mathayo 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. C...
6 days ago
2 comments:
jamani mimi ningependa kumpongeza kaka anaeitwa Tom Mwakalinga, nimemuona kwenye TV hapa uk chanel inayoitwa GODS TV. Umeimba vizuri sana sikutegemea kwamba wewe ni mtanzania endelea kuimba Gospel music usije ukapata tamaa na kuanza kimba nyimbo zisizo mtukuza MUNGU. Hongera sana kwa kutuwakilisha watanzania kwenye nchi ya ugeni.
Beautiful song "Najua" you can translate to Brazilian Portuguese?
and send the email acrolim9@hotmail.com
God bless
Post a Comment