Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
5 comments:
Ninamshukuru Mungu kwa jinsi anavyozidi kuwapa watu wake karama mbalimbali,nimesikiliza wimbo huu wa Mrs:Christina Shusho unikumbuke umezidi kunifariji moyo wangu, na kunikumbusha kipindi kigumu nilichopita mpaka nikafilia kuwa Mungu ameniacha,lakini kumbe alikuwa akinitegenezea ushukhuda Mungu.Mungu hatusahau anatuwazia yaliyo mema kila wakati.Mungu azidi kumfunulia huyu mama nyimbo nyingi ili watu wapate kupona kupitia ujumbe wa nyimbo zake.
Mungu awabariki
Evarest
Belgium
Mungu akuzidishie ujasiri maarifa na hekima pia miaka mingi christina indeed you are a blessing to many not only in Tz but in the whole E.Africa. Ubarikiwe sana
huu si ni wizi wa kazi za wasanii?
Waambie youtube. Acha injili ienee. Hebu ushindwe na ulegee
unanigusa sana, unanipa upako. ubarikiwe kwani kupitia wewe naimarika kiroho, MUNGU KWELI AMENIKUMBUKA.!!! anazidi kunipigania, akubariki na kukupa nguvu ya kumtumikia!!!
Post a Comment