Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Friday, December 24, 2010

UPENDO NKONE AT HER BEST !!!


(1) HALELUYA USIFIWE



(2) ZIPO FAIDA


 
(3) USINIPITE



(4) NAKUSHUKURU



(5) SITARUDI NYUMA



(6) MOYO WANGU



(7) YESU WANGU NI TUMAINI



(8) UNITETEE



(9) UINULIWE

5 comments:

Anonymous said...

Upendo Nkone at her best! Blessings

Anonymous said...

Nyimbo nzuri ajabu.

Lakini pengine macho yananidanganya. Inaonekana kama mtumishi wa Mungu AMEJICHUBUA kwani katika video zingine anaonekana mweupe. Namfahamu personally na ni pure chocolate. Kidogo natatanishwa na mtumishi wa Mungu KUJICHUBUA!!!

Anonymous said...

Duh! Unajua rangi ya asili hua inapendeza ajabu! Lakini sasa hapa mtumishi ukiweka mkono wako mwenyewe kwenye shavu lako mwenyewe watu wanaweza wakuambie, Hey, wewe, ondoa mkono wako kwenye shavu la mwenzio!!! Yani ni rangi mbili tofauti...!

Anonymous said...

Kwanza nampongeza sana dada Upendo Nkone kwa hatua kubwa aliyofikia. Kwa kweli mimi binafsi nyimbo zake zinanibariki kupita kiasi. Keep it up dada!

Kuhusiana na suala la rangi yake ya ngozi kuwa nyeupe, HAJAJICHUBUA. Ni rangi yake ya asili isipokuwa sehemu zinazoonekana nyeupe zaidi ni kutokana na kuathiriwa na taa za kuongeza mwanga kwenye upigaji wa picha za video.

Mpiga picha alitakiwa kubalance mwanga. Hata hivyo bado amependeza sana amevaa nguo za heshima zinazoendana na umbo lake. Inapendeza kwa kweli huku Ulaya kila mtu akiona DVD yake au kupitia kwenye blogu hii anamsifia sana unadhifu wake na uimbaji wake

Dada Upendo Mungu akubariki sana katika maisha yako yote, na vizazi vyako vyote, uwe na watoto wema watumishi, wasomi ili jina la BWANA YESU lizidi kuinuliwa na mataifa yote

Anonymous said...

Hata mimi nampenda sana dada Upendo Nkone...ila ukweli wa kujichubua....mtu aliyejichubua kuna mahali utaona tu, kwa mfano hwenye pingili za vidole, nk!

Hata hivyo...nampenda sana Upendo..ila nahisi amejichubua kidogo...ama labda kama ameacha sasa! Si kama nahukumu!